Wednesday, March 11, 2020

Zifahamu Kanuni za Kulinda Afya ya Figo zako

SIKU YA AFYA YA FIGO DUNIANI

Figo ni ogani muhimu katika uhai hasa kusafisha damu, uimara wa mifupa, kudhibiti presha

KANUNI MUHIMU KULINDA AFYA YA FIGO
1️⃣Zingatia unywaji wa maji
2️⃣Zingatia lishe bora
3️⃣Mazoezi
4️⃣Dhibiti uzito/unene
5️⃣Dhibiti kiwango cha Shinikizo lako la damu
6️⃣Dhibiti kiwango cha sukari kwenye damu
7️⃣Usipende chumvi nyingi
8️⃣Punguza vyakula vya viwandani

No comments:

Post a Comment